contact

husen

Tuesday, July 24, 2012

MAJAMBAZI WAIBA BAA MCHANA KWEUPE


LOVE VS HATE, BAMBOO FEATURING VIKKI SECRET MIXTAPE VIDEO


MKENYA ALA SHAVU KWA TI


Model wa Kenya aishie Marekani Jared Okeyo
 amekula shavu la kuonekana kwenye reality
show ya T.I  iitwayo T.I & Tiny Show: 
The Family Hustle, inayooneshwa kwenye 
kituo cha VH1.


Pamoja na show hiyo Jared ameonekana pia 
kwenye show nyingine ya Real Housewives of Atlanta 
kupitia Bravo TV.



SOURCE LEOTAINMENT

Wednesday, July 4, 2012

ALICHOKIPOST FID Q KATIKA PAGE YAKE YA FACEBOOK

Niaje RAFIKI ZANGU wa ukweli? Nawaomba tubadilishe profile pics zetu nakuiweka hii japo kwa wiki moja tu.. mtakuwa mmesaidia KitaaOLOJIA kuwafikia watu wengi zaidi... each one.. teach one.. ndo mwendo wetu au vp..? twendee
Niaje RAFIKI ZANGU wa ukweli? Nawaomba 
tubadilishe profile pics zetu nakuiweka hii japo 
kwa wiki moja tu.. mtakuwa mmesaidia KitaaOLOJIA
 kuwafikia watu wengi zaidi... each one.. 
teach one.. ndo mwendo wetu au vp..? twendee


MWANACHUO WA CHUO CHA UALIMU ST.AGREY MBEYA AUAWA BAADA YA KUTUHUMIWA KUIBA PIKIPIKI


Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo PRAY GOD MGONJA
Mwananchuo wa chuo cha ualimu cha ST Aggrey 
kilichopo uyole jijini mbeya
 anasadikiwa kufariki dunia baada ya kupigwa na 
wananchi wenye hasira kali 
katika maeneo ya Isanga kwa tuhuma zakuiba
 pikipiki zakusafirishia abiria
 maarufu kama bodaboda. 

Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo 
PRAY GOD MGONJA amemtaja mtuhumiwa
 huyo kuwa ni VEDASTO PIUS anayekadiriwa
 kuwa na umri kati 25 mpaka 30 . 

Mgonja amesema tukio hilo limetokea mnamo
 july 2 mwaka huu majira ya saa 8
 za mchana katika daraja lilopo karibu na 
hotel ya Rift Valley barabara yakuelekea
 isanga jijini mbeya. 

Amesema mtuhumiwa 
amekumbwa na mkasa huo 
baada yakupewa taarifa za
 kuibiwa kwa pikipiki yenye No T 438BZU aina
 T-BETTER yenye alama ya
 chama cha Demokrasia na maendeleo mali ya 
JOSEPH KAPASI(23)mkazi 
wa Ilomba jijini hapa

 
Kwaupande wake mmiliki wa pikipiki hiyo 
JOSEPH KAPASI amesema aliombwa
 kumfundisha mtuhumiwa huyo na baadae 
alipoanza kuendesha vizuri alitokomea
 nayo na marabaada ya hapo alipatikana eneo la
 isanga akielekea barabara ya
 chunya ili aibe na ndipo akakamatwa na 
wanainchi wenye hasira kali nakuanza
 kumpa kichapo ambacho kimemfanya azirai


source thechoice

PICHA 14 ZA SHOW YA DIAMOND SONGEA















RICK ROSS FT.MEEK MILL - SO SOPHISTICATED NEW VIDEO


PICHA 6 ZA KOCHA MPYA WA YANGA







HUYU NDIO BOSS WA FACEBOOK ALIEFUNGA NDOA NA HUYU MWANAUME MWENZAKE, NA HIKI NDIO WALICHOFANYA FACEBOOK.

Baada ya mmoja wa waanzilishi wa mtandao wa kijamii
 wa facebook Chris Hughes kufunga ndoa ya jinsia 
 moja na mpenzi wake wa muda mrefu bwana 
Sean Eldridge jumamosi iliyopita huko New York City,
 USA last Saturday, the social networking website 
chose to symbolically introdMtandso huo umeamua
 kuongeza kitufe kitakacho ashiria ndoa za jinsia 
moja kwenye relationship status za mtandao huo.
Kwa kawaida ilikua mtu akioa kwenye page yake ya
 facebook anaruhusiwa kubadilisha status ambapo
 kitufe cha facebook huwa kinaonyesha mwanaume 
na mwanamke lakini kwa sasa inaweza kuwa 
mwanaume kwa mwanaume au mwanaume 


kwa mwanamke.

Mabadiliko haya sio mapya kwenye mtandao wa
 facebook katika harakati za kwenda na wakati 
kwani 2011 facebook iliongeza kitufe cha kuonyesha
 kwamba ndoa imefungwa mahakamani hatua 
ambayo ilionekana kuunga mkono ndoa za
 kimahakama za watu wa jinsia moja.
Pamoja na hilo facebook imekua inatoa support 
kwa asasi zisizo za kiserekali ambazo zimekua
 zikiweka kipaumbele kwenye kutetea haki
 za mashoga na wasagaji.

source millardayo

JAGGAR FT BELLE 9 - SAUTI ZETU (Official Video)


*ALIKIBA* with *DJ G TOWN* IN HOLLAND


BRIANNA - BACK DER (Official Music Video)


MISSING YOU-BEBE COOL & REMA


MWANA FA AKERWA NA MAKAMPUNI YA SIMU

Rapper Hamis Mwinjuma aka MwanaFA

 ameelezea kukerwa

 na mtindo uliopo sasa wa makampuni 

ya simu kugeuza 

nyimbo za wasanii kuwa matangazo

 na kuelezea kuwa

 ni ufinyu wa ubunifu.

“Ndugu makampuni ya simu,mashindano ya kubadili

 nyimbo za bongo fleva kuwa matangazo yenu

 yametosha sasa!fanyeni kubuni kitu kipya,ahsanteni!” 

ametweet leo.

MwanaFA siye pekee aliyechukizwa na kitendo hicho 

kilichokithiri kwa makampuni ya simu nchini.

Mtangazaji na mbunifu wa vipindi na masuala mbalimbali

 wa Clouds Fm Cindy naye pia ameonesha kusikitishwa

 na tabia hiyo.

"Salaam kwa kampuni zetu za simu, matangazo bila 

kutumia nyimbo na wasanii wa muziki yanawezekana

 kwa kuajiri ubunifu 'kidogo tu' katika utunzi wenu

 wa matangazo na njia za mawasiliano kwa jamii!!ni

 hayo tu,” aliandika kupitia Facebook.

“Inachosha kila mara kusikia nyimbo zetu zote nzuri 

zimebadilishwa kuwa na ujumbe wa tangazo... Mbaya 

zaidi ni kuona kampuni zinavyoigana kana 

kwamba hiyo ndio namna pekee ya kutangaza 

bidhaa/huduma zao...inanionyesha pia ufinyu wa

 ubunifu wao katika utoaji wa huduma zao!!!”

Aliongeza, “If only zingekuwa ni original production 

and not the renditions of popular songs/artists

 performances...then that would be a step towards

 creativity in all this. Atleast get a vocalist, 

write an original music (creatively) n produce

 AN ORIGINAL musical ad with FRESH melodies...

but NOT get a popular (over played) song, change

 lyrics (lazily uncreative) and produce a rendition 

of the original!! Can u imagine the original being 

on high rotation (played every now n then) plus 

the renditioned advert on probably every half an

 hour...dont know about any of u but I know

 that radio/Tv would lose my listenership.”

Cindy hakuishia hapo ambapo aliendelea kwa 

kusema, “Mental and emotional appeal goes way

 further than just a popular melody...it’s the msg

 thats left behind after the melody stops n another

 commercial comes in before a chain of other

 programming activities. Small research...go

 ask ten ppl who listened to the radio in the 

morning n ask them the msg they got from any

 of the copy music adverts... I did n I know 

what I gushin about!!!”

Miongoni mwa nyimbo za wasanii wa Bongo Flava

 zilizotumiwa kufanya matangazo ya simu ni pamoja 

na Hakunaga wa Sumalee, Nimpende Nani wa Diamond,

 Mgambo wa Juma Nature (Vodacom), 

Bongo Flava wa Dully Sykes (Tigo), 

Dushelele wa Ali Kiba na 

Ndege Mtini wa Ferooz (Airtel).

 

 

 source leotainment


Monday, July 2, 2012

50 Cent - I Ain't Gonna Lie (Official Music Video)


MAPOKEZI YA DIAMOND SONGEA


AJ UBAO & LINAH "ALL I NEED"


BLACK RHINO & WIFE




FID Q FT YVONE MWALE - SIHITAJI MARAFIKI official video

Hatimaye video ya ‘Sihitaji Marafiki’ ya Fid Q 
aliomshirikisha mwanadada Yvonne imetoka leo.
 Video imefanywa na kampuni ya 
Showbiz Defined. Na wengi surprise
 kwenye video hii ni pale palipoandikwa 
‘Visualised by Mike T”!
Kwetu sisi hii si video ya kushtusha sana
 lakini tumefurahishwa na mwanzo mzuri 
wa Mike T kama director (kama kweli ni
 yeye ndiye aliyefanya)
Baadhi ya mashairi katika wimbo huu
 uliofanywa na J-Ryder wa
 Tongwe Records ni kama haya:
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi
Kupata na hauna kitu jua umefanikiwa kichizi
Mi sikufichi, sihitaji urafiki na usupastaa
 ukihit ndo unang’aa
Kupishwa kiti kwenye baa, kuwe beat na JR
Siku hizi mabinti wanaonimiss, 
ndo walionidiss niliposoma nao
Masaa hayarudi nyuma kama muda
 wa kufuturu
Walioukataa utumwa wameshtuka
 hawana uhuru
Wanazusha najisikia,
 so am my own best friend
Naweza nikakata ringi kiasi cha kutopay attention
Lakini sio tajiri wa kuafford kuwa too patient
Sihitaji marafiki labda baadaye akitokea
Aje mmoja wa kuongea naye na
 mmoja wa kumwongelea
Rafiki wa kweli ni yupi, mkimya
 ama anaechonga
Yule aliyekupa jina ama ama 
pengine anayekuponda
 
 
 
STORI KWA HISANI YA LEOTAINMENT

WASHINDI WA TUZO ZA BET

Best Group: The Throne
 (Kanye West & Jay-Z)
 
Best Actor: Kevin Hart
 
Best New Artist: Big Sean
 
Best Male R&B Artist: Chris Brown
 
Best Collaboration: Wale ft. Miguel
 
Best Gospel: Yolanda Adams
 
Best Female R&B Artist: Beyoncé
 
Best Female Hip-Hop Artist: Nicki Minaj
 
Lifetime Achievement Award: Maze
 featuring Frankie Beverly
 
Video Of The Year: “Otis,” The Throne
 (Kanye West & Jay-Z)
 
BET Humanitarian Award: Rev. Al Sharpton
 
Viewers’ Choice Award: Mindless
 Behavior
Video Director Of The Year: Beyoncé &
 Alan Ferguson
AOL Fandemonium Award: Chris Brown

JUSTINBIEBER AKAKAMUA NYIMBO ZA WATU

Umaarufu wa Justin Bieber ulianza kwa kuimba nyimbo za
 wasanii wakubwa na kuweka video kwenye  YouTube.
 Na kwa sasa Bieber akiwa miongoni 
\mwa wasanii wakubwa 
kwenye sayari ya dunia, inaonekana bado anapenda
 kuimba nyimbo za mentor wake Usher japo siku hizi
 sio yeye anayeziweka video hizo
 kwenye Youtube bali ni watu wengine.

SOURCE LEOTAINMENT