contact

husen

Saturday, September 8, 2012

WAPIGANAJI WA BOKO HARAM WAUAWA NCHINI NIGERIA

Jeshi la Nigeria linasema limewaua watu saba wanaoshukiwa
 kuwa wafuasi wa kundi la wapiganaji wa Kiisalmu wenye
 msimamo mkali la Boko Haram katika mapambano kaskazini mwa nchi hiyo.
Msemaji wa jeshi hilo amesema watu wengine zaidi kumi
 na watatu wamekamatwa baada ya kushambulia kituo cha
 ukaguzi cha jeshi, katika mji wa Maiduguri.
Ghasia hizo zimetokea siku moja baada ya polisi wa Nigeria,
kusema kuwa wataanza kulinda kutwa-kucha, milingoti
 ya simu za mkononi kufuatia milingoti kadhaa kama hiyo
 kushambuliwa mwezi uliopita, kaskazini mwa nchi.
Boko Haram ilisema ilifanya mashambulio hayo, kwa
 sababu milingoti hiyo inatumiwa kufuatilia
mawasilino baina ya wafuasi wake.
Akitoa maelezo ya tukio hilo la Maiduguri, Luteni Kanali
 Sagir Musa amesema, ''Kundi la watu wenye silaha
wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa Boko Haram walishambulia
 kituo cha ukaguzi cha kijeshi sehemu ambayo wanajeshi
 walikuwa wameweka kizuizi na kufanya ukaguzi.
Ramani ya Nigeria ikionyesha eneo la Maiduguri

''Wanajeshi walijibu shambulio hilo kwa risasi. Watu saba wenye
 silaha waliuawa katika majibizano hayo ya ufyatulianaji risasi,
 na wengine kumi na watatu walikamatwa huku
 wengine wakikimbia. Hakuna majeruhi waliopatikana
 kwa upande wa wanajeshi.''
Boko Haram wanataka kuwekwa kwa utawala wa sheria
ya Kiislamu nchini Nigeria.
Kundi hilo lilianzisha kampeni ya kijeshi mwaka 2009
 kupigania kuanzishwa kwa utawala wa Kiislamu, likishambulia
 majengo ya serikali na makanisa na pia kuwaua wahubiri wa
 Kiislamu wenye msimamo wa kati.
Nchi hiyo imegawanyika kati ya eno la kaskazini lenye Waislamu
 wengi na lile la kusini linalokaliwa na Wakristo wengi na dini nyingine.
 
picha na stori kwa hisani ya bbc

DANIEL AKUFFOR ANENA

.
Baada ya kuanguka na kuzimia kwenye mechi na Sofapaka
ya Kenya juzi september 6 2012, mchezaji wa Simba
 Daniel Akuffor amesema kwa sasa anaendelea vizuri na
 ataendelea kuwa fit kadri siku zinavyosogea.
Akuffor amesema “sijui nini kilitokea kwa sababu hii ni mara
yangu ya kwanza kwenye maisha yangu miaka 12 kwenye soka
 sijawahi kupatwa na kitu kama hiki, niko poa na niko
 tayari kwa game ijayo ya ngao ya jamii na ushindi utapatikana”
Kwenye line ya mwisho Akuffor amewaambia fans wa Simba
kwamba wasiwe na wasiwasi na hadhani kama kilichotokea
kwenye mechi ya Simba na Sofapaka kitajirudia.

Friday, September 7, 2012

WYNE ROONEY AONESHA MAPENZI KWA UNITED

WAYNE ROONEY last night told Manchester United

he will stay for as long as he is wanted at Old Trafford.

The England striker has had a difficult start to the season with
question marks hanging over his working relationship with
 manager Alex Ferguson.
He is currently sidelined by a deep cut to his right thigh and
faces a battle to regain his starting spot when he returns.
But Rooney, 26, says he would be happy to finish his career at
United and is targeting another decade with the Red Devils.
The former Everton hero said: “Could I be here another 10 years? I hope so.
“As long as I’m wanted here then I will be a Manchester United player.
“Obviously I had that situation a couple of years ago but
 made it clear very quickly that I had made a mistake.
“As long as people want me to be a United player, then that is what I’ll be.
“Hopefully that will be for a long time.
“It’s a great club and, let’s be honest, where else can you
go from this club? It’s the biggest team in the world.”
Rooney only needs to look around the United dressing room to
 see how he can extend his career with United for as long as possible.
He said: “You just look at Ryan Giggs and Paul Scholes and
how successful they’ve been — they’re an example to us all.
“That’s the idea of the plan and hopefully that will be the case.”
Rooney’s terrible day against Fulham last month started with
 him being left on the bench — and then ended with him in
 hospital with stitches in his leg.
Although there were fears that he could be out for a long period
after suffering a horror cut just above his right knee, Rooney
 could be back later THIS MONTH.
But with the arrival of Robin van Persie, Rooney accepts he will
no longer be an automatic selection if Ferguson has all four of his strikers fit.
But he is ready for the battle with RVP, Danny Welbeck and
 Javier Hernandez as United aim to win back the title from neighbours City.
He said: “You can’t assume you are going to play.
“But I’ve always worked very hard to make sure the
 manager has got to play me.
“I’ve had this injury setback but I am working hard in the gym
 to make sure that when I’m told it’s OK to return, then I’ll be back.
“Competition is great for us all. We’re all fighting to
get into the team and score goals.
“It’s great for the manager and we all must make sure we give
 the manager the headache he wants in one way but doesn’t in another.”
With tension between Ferguson and Rooney, some fans
were concerned there may be a repeat of October 2010 on the cards.
Back then, the striker sensationally asked to leave Old Trafford
 before withdrawing his request and signing a new deal.
He was also dropped from United’s squad for the New Year’s Day
clash with Blackburn last season and fined £200,000 for going
out for a Boxing Day meal with wife Coleen, joining team-mates
 Jonny Evans and Darron Gibson and their partners too.
Rooney hopes the goals he has scored since have gone some way
to repairing his relationship with club, manager and fans.
He said: “It’s an episode I’m not proud of but it has helped me
 because it has given me great desire and hunger to
 be more successful at this club.
“I realised quite quickly and told them I had made a mistake
 and wanted to put it right and within 12 hours I had signed the new contract.
“They brought me back into the team and the club and,
 from then on, I knew I had to repay the faith they had shown me.
“I think since then I have scored a lot of goals for the club and the fans.
“I know they must have been disappointed with what happened 
 but they have been fantastic with me since.
“Just watching and working with someone like the boss,
who has done it so many times and continues to do it, with
 that desire and winning mentality, is incredible to be part of.”
Once Rooney is fit again he can set about trying to reclaim the
Premier League crown from City and erase the memory of that
final-day title heartache last season.
The United star admits he is still haunted by the sight of Sergio Aguero
  scoring the decisive goal deep into stoppage-time against QPR at the Etihad.
He said: “I’ve tried not to watch it since but I’m sick of
 seeing Aguero’s goal. It is everywhere.
“When we’ve won league titles I’ve never seen a goal replayed
 so many times. I just have to put it on mute now.
“But when we came back I could sense and feel a great determination
 in the squad and a great energy in the dressing room to try
 and win that title back.
“We all have to make sure we’re in it together and we can do
that. We have lost titles in the past very closely.
“We’ve lost to Chelsea by one point. That was hard enough itself
but to lose to City on the last day on goal difference was horrible.”


PICHA 4 ZA BEYONCE, JAY Z,


 



 


ENGLAND YAILAZA MOLDOVA 5 - 0


Roy’s Moldova the moon

ENGLAND made a carnival start to their World Cup

 campaign last night as they set off on the long road to Brazil.

Frank Lampard stunned Moldova with an early double before
 Jermain Defoe, James Milner and Leighton Baines completed
 the rout with the only worry an injury to John Terry.
Boss Roy Hodgson said: “I’m very pleased, it’s a great result
 because the first match in a qualifying group is a nervous occasion.
“You are always concerned you will not produce the performance
 you want, or the result, but we got off to the best possible start,
 controlled the game throughout and the scoreline flattered us.
“Sometimes 5-0 victories do — but not today. Now we have a
 couple of days to prepare for the next one.
“Tuesday is against Ukraine, who could be one of the favourites
 to win the group. I hope the recovery time is sufficient and the
 players can muster their strength again to give a good performance.”


NICKI MINAJ AMTSEMEA MBOVU RIHANNA

 


: There was a TENSE MOMENT at yesterday's
VMA Awards show - between Nicki Minaj and Rihanna. Nicki and
 Rih had been friendly for most of the night - greeting each other
and even taking PHOTOS with each other.
But shortly after Nicki accepted the award for BEST FEMALE VIDEO -
 things got HAIRY between the two. According to MediaTakeOut.com
snitch, Nicki DOES NOT like Rihanna. Nicki believes that
 Rihanna is to blame for INSTIGATING the rift between
Drake and Chris Brown (both friends of Nicki's). The resulting
 fight will likely cost both men MILLIONS in lost
 opportunities and legal matters.
So when Rih tried to walk up and hug Nicki to congratulate her -
Nicki SHUT IT DOWN. Nicki reportedly looked Rih dead in
 her eye and said "sit the f*ck down b*tch". This report was
 CONFIRMED by MTV reality star/reporter Trischelle C.
Wow . . . at least Rih had the good sense not to POP HER IN HER FACE
 right there in the audience. We like this feud . . . it could get INTERESTING!!!

MCHEKI BUSTA RHYMES AKIMUELEZEA 2 PAC


HALI HALISI - HIP HOP STORI


Thursday, September 6, 2012

MASTAA KIBAO WAHUDHURIA MAZISHI YA CHRISS LIGHTY

50 Cent, Diddy, Fat Joe, Lauryn Hill & Others Attend Chris Lighty's Funeral
Chris Lighty's impact in Hip Hop was on display by the
attendees to his memorial service.
Tragedy brought rivals and estranged partners under the
same roof on Wednesday (September 5) afternoon, as droves
of Hip Hop artists and industry figures attended Chris Lighty's funeral.
As previously reported, Chris Lighty was found dead last week,
reportedly as the result of a self-inflicted gunshot wound to the head.
The event turned out to be something of a media circus,
as cameras crowded around Frank E. Campbell Funeral Chapel,
which also hosted The Notorious B.I.G. and Aaliyah's funerals.
LL Cool J, Missy Elliott, Busta Rhymes, Mary J. Blige, Diddy,
50 Cent, Fat Joe, and Lloyd Banks were among those in
attendance at the high-profile event.

                                      

USAIN BOLT AKIPASHA KWA MAANDALIZI YA KUICHEZEA MAN UNITED


RIHANNA ATOKA NA STYLE MPYA YA NYWELE





MANECK AMCHANA DOGO JANJA

Producer Maneck ambae ni mshindi wa tuzo kwenye KTMA 2012
 ameamua kuzungumza ya moyoni kwa kuijibu kauli Dogo Janja
 aliyoitoa kwamba Producer huyo kauponda uwezo wa Marco Chali.
Ishu ilianza wakiwa club Maisha Dar es salaam jumapili
 iliyopita ambapo Dogo Janja anadai alikwenda sehemu ya
 V.I.P na kumsalimia Maneck ambae hakujibu salamu ila
 aliporomosha matusi mazito kwa Dogo Janja pamoja na
 kumpiga biti kwamba asimsogelee.
Baada ya hapo Dogo Janja akashuka chini kwenda
 kumwita meneja wake wa WATANASHATI ambae
ni Ostaz Juma ambapo kwa maelezo ya Dogo Janja, Maneck
 alianza kuiponda single mpya ya Dogo Janja na PNC
 waliyoirekodi kwa Marco Chali ambayo mwanzoni ilikua
 irekodiwe kwa Maneck alieiponda kwa kusema ni ya kawaida
 sana kwa sababu imefanywa na Marco Chali.
Jibu alilolitoa Maneck baada ya kusikia kwamba Dogo Janja
 amenukuliwa kwa hayo maneno, namkariri akisema
“ndio ninavyokwambia sitakagi watu masnich kama huyo,
Marco Chali ni mtu ambae namfil sana anafanya kazi nzuri,
 siwezi kuongea kitu kibaya kwa Marco kwa sababu leo na
kesho nitamfata nitamuomba msaada wa kitu chochote kile
 hata material sasa nitawezaji kusema hivyo kwa mfano sasa,
Dogo Janja ni mtu ambae anataka tu kufanyaga vitu watu
wapishane kauli mambo ya kijinga ni utoto akikua nadhani
 ataacha hizo tabia zake, na ndio maana nikamwambia kaa
 mbali sitaki uongee na mimi that’s all”

Wednesday, September 5, 2012

PICHA 4 ZA DIAMOND AKIWA MAREKANI


TID APEWA MAKAVU FACEBOOK


Top in Dar, TID leo amejikuta akizunguana
vibaya na shabiki wake wa kike kwenye Facebook.
Picha lilianza baada ya TID kuandika status
 inayosema, “Am tha Guy who did tha song
KIUNO which is currently the No.1 song in the
 Country I only do Killer tracks that kill
people but I don't kill people..........”
Status hiyo ilimkera msichana aitwaye Happiness
‘Cutegal’ Ignas ambaye aliamua kumpa live TID.
“But stop being arrogant! U luk like a fool b4 pipo!
 We love ur music bt too rude thus y u NEVER
 get further! Kama unamfwatilia hata interview
TID is rude n too emotional.”
“Don’t get upset she is jus a loozer am the
 winner keep me posted mnyama mkali, “alijibu TID.
“She doesn't knw me @all she wants to be
 famous don't worry am not allow them to
 reach this far,let me block the groupy!”
Majibu ya TID yalimpandisha morali Happiness
 aliyeamua kufunguka zaidi.

Happiness
“hehehe!! Whatever u talk! Ur a fuck a mean!!
 A fool callin himself a winner!! Wonders shld
  neva end! Whaat! Want to be famous??
Hahaha see how zero brain ur! Dnt b twisted
hia! It was just a piece of advice, or watever
 u cal urself! Watch ur smelln mouth!!
 Nonsense of highest degree."
Aliendelea kufunguka zaidi, “tatizo sio humanity error,
 TID anajua kuimba, anajua kucheza, anajua kuvaa
 lakini hajui ku create gud image, hapendi
 ushauri, 2sipomwambia sisi atamwambia nani?
TID angetakiwa kuwa mbali sasa, sio kuwa
 dominant, y ameanza mziki long bt he stil
da xme! Y?? Aache kujisikia bwana.

Ulishamwona T.ID anafanya interview?? As if
 anaimbia na cash money, as if he has gained!!
 Unajua kuna mtu waweza mtazama ukamhesabu
 kwenye mazuri bt kumbe sivyo, TID z arrogant,
 rude n mean!!!”

Mpaka tunaenda mitamboni TID hakujibu tena! Lol…..
 
stori kwa hisani ya leotainment

SUPER SPORT KUONESHA LIGI KUU TANZANIA BARA

.
Mwanga wa neema unazidi kuimulika ligi kuu ya Tanzania bara,
 baada ya kusaini mkataba mpya mzuri na Vodacom kwa miaka
mitatu, ligi hiyo inaelekea kupata udhamini kutoka kituo
 cha Tv cha Afrika kusini cha Supersport ambacho kitakua
 kinarusha live hizo mechi.
Ili kuweza kupata udhamini huo kumeandaliwa kipindi cha
 majaribio ya kurusha baadhi ya mechi za ligi msimu huu
 kupitia Supersport – ambacho kimepewa jina la
“Supersport week in Tanzania”.
Supersport kupitia majaribio hayo wataonyesha mechi zifuatazo:
Azam vs JKT Ruvu tarehe 28 mwezi huu,
 Simba vs Tanzania Prisons tarehe 29/9, African Lyon vs Yanga tarehe 30/9,
na mechi watani wa jadi Simba vs Yanga ya tarehe 3/10
Baada ya majaribio hayo kuna asilimia kubwa ligi kuu ya
 msimu ujao wa 2013/14 ikaanza kuonyeshwa na kituo hicho
 maarufu barani Afrika.
 
Stori kwa hisani ya Shaffih Dauda