contact

husen

Sunday, May 27, 2012

MANEKE AMCHUKLIA POA ALIKIBA

The best producer wamwaka 2011/2012 Maneke amefunguka
 na kukata mzizi wa fitna kuhusu kuwepo kwa uvumi kwamba
 amem maindi Bongo fleva artist Alikiba aka the Single Boi 
mara baada ya kitendo chake cha kupiga clip kadhaa za 
kichupa cha single boi katika studio za B Hits Music Group
 wakati ngoma hiyo alii produce yeye mwenyewe katika
 studio za AM Records. Lakini
 piaManeke alialikwa 
location ili kutokelezeakatika kichupa hicho lakini 
hakutokea location. . Maneke amesema
 hajamaindi chochote na maisha yanaendelea

kuchekikichupa hicho bofya play
  




No comments:

Post a Comment