contact

husen

Thursday, June 21, 2012

DOGO JANJA KUTUA KWA OSTADH JUMA NA MUSOMA?

Dogo janja anatarajia kutua ndani ya dar siku ya kesho.  .
 The reason behind ni kwenda kucheki mkataba ambao ataingia
 na Ostadhi Juma na Musoma ili awe chini yake. Dogo janja amekwisha
 tumiwa tiketi ya ndege kwaajili ya safari hiyo ya kesho.Swali ni
 kwamba Dogo janja ana miaka 16 na kwa sheria za nchi motu
 ambaye hajafikisha miaka 18 haruhusiwi kuingia mkataba wowte. . 
 Katika hilo Dago amesema endapo atakubaliana na mkataba huo
 Baba yake mzazi ndiye atakayesaini kwa niaba yake.

No comments:

Post a Comment