contact

husen

Saturday, June 16, 2012

AKAUNT FAKE YA JOKATE FACE BOOK YABAMBA


Mwanamitindo na mtangazaji wa kituo cha TV cha
 Channel O Jokate Mwegelo amesema amegundua 
kuwa akaunti fake ya Facebook ambayo inaonesha
 kuwa ni yake, ndio inayojulikana zaidi na yenye 
comments nyingi
 kuliko ile ya kweli.

‘So this fake fb a/c of mine has many more people making
 comments than the authentic one?!?...You fake and Ballin'
 smh...... #icant,’ aliandika jana.
“And the person gets like a hundred plus comments im like
 wooooow.....They need to be shut down.”

Jokate amesema yeye ana akaunti moja tu ya Facebook
 na zingine zenye jina lake si za kwake.

Baadhi ya watu wameshangaa kuona kuwa kuna watu
 wana muda wa kujifanya watu wengine kwenye mitandao
 ya kijamii utadhani hawana kazi za kufanya, “
so second account on fb is not urs. Wow!!People
 have time,” alitweet @MimiMimzamina.

Mbaya zaidi ni kuwa mtu huyo anayejifanya Jokate 
ameblock Jokate wa ukweli hivyo hawezi
 kufanya chochote.
“I swear yaani i was really shocked halafu huyo mtu 
mimi kani-block .”“I had managed to control
 one like two years ago will see what i can do
 with this one. Halafu the fake a/c katia i have a
 fb page like it kidoti classic, wowzerssssssss!!!!!
 so anayo mpaka page smh.....”

 
Akaunti yake halisi ya Facebook ina picha ya profile
 inayomuonesha akimbusu mama yake, picha ambayo
 anaitumia pia Twitter kama profile picture.
Watch out! There are lots of imposters
 out there!



SOURCE LEOTAINMENT

No comments:

Post a Comment