contact

husen

Monday, June 18, 2012

AMERUDI VS FLEXING ON EM UTATAAAAA

Kufuatia kuendelea kuwepo kwa zoezi 
la sampling za ngoma
 kadhaa hapa bongo hatimaye imegundulika 
ya kwamba ngoma
 ya Belle 9 amerudi mkono uliopigwa
 na Triss ni kama kuna 
sehemu flani ya kiitikio pale ambapo Belle
 anasema “ameruudi” 
ni kopy n paste toka katika ngoma ya 
Meek Mill - Flexin On Em
.Ngoma hiyo inapatikana katika mix tape 
“dackness nightmare”
Belle 9 amesema hakuwahi kujua kwamba
 beat ya amerudi
 imefanana na beat ya Meek Mill na
 isitoshe amerudi aliifanya
 2010 na Meek Mill ametoka juzi tu.
 Belle amesema alikuta
 beat hiyo studio akaipenda na kuamua
 kufanya nayo ngoma.
Upande wa pili wa shilingi Triss amesema 
alimsikia Belle akiimba
 “ameruudi” ndipo akapata idea ya
 kunyonga beat hiyo.
Hata hivyo Belle amekon clued kwa 
kusema ya kwamba idea
 huwa zinafanana coz muziki 
hauna mwenyewe

No comments:

Post a Comment