contact

husen

Friday, June 1, 2012

JAMAA AFANYA MAUAJI YA KINYAMA SOUTH BEACH



Hatimaye ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, Polisi huko
 South Beach wamepata sura ya kijana aliyewauwa watu wawili mmoja
 alimchinja na mwengine alimtoboa macho akamkata pua pamoja na mdomo,
Kijana huyo ambaye sura yake imekuwa gumzo marekani nzima
 alitekeleza kitendo hicho cha kinyama siku chache zilizopita
 na kwa uchunguzi wa polisi inasemekakabla ya kuwauwa aliwaingilia 
kinyume na maumbile,

Jamaa aliyefanya unyama huo

No comments:

Post a Comment