contact

husen

Monday, June 17, 2013

PICHA: MWANAMKE ABAKWA NA KUZIKWA AKIWA HAI...POLISI WAMFUKUA NA KUKUTA AMEFARIKI





Matukio ya kikatili yameendelea kutikisa nchini Nigeria baada ya mwanamke mmoja kubakwa na kuzikwa akiwa mzima....

Taarifa toka katika mitandao ya kinigeria zinadai kuwa mwanamke huyo alibakwa na kisha wabakaji wakamfunga miguu na mikono.....

Zoezi la kumfukua likiendelea.....

Mwili wa dada huyo ukifukuliwa

Mwili umekwisha fukuliwa, bahati mbaya dada huyo amekwisha fariki....

Baada ya kumfunga,Mashetani hao walichimba shimbo porini walikotekeleza unyama huo na kisha kumzika akiwa hai ili kuficha ushahidi.....

Jeshi la polisi nchini humo lilifanikiwa kuipata habari hiyo masaa 12 baada ya mwanamke huyo kuzikwa akiwa hai....

Zoezi la kumfukua dada huyo lilianza, lakini bahati mbaya dada huyo alikuwa amekwisha fariki

No comments:

Post a Comment