contact

husen

Saturday, July 13, 2013

BAADA YA WANAFUNZI KUCHAFUA HALI YA HEWA,TEKU SASA WAANZA KULIPA FEDHA ZAO


 Vice Chancellor wa TEKU Prof. Dr. Tuli Kassimoto
 Huu ni uthbitisho wa kupokea Fedha hizo leo na sio kama walivyo kuwa wakidai wanafunzi kuwa Chuo kilitunza Fedha zao katika (Fixed deposit)
Huu ni uthibitisho kutoka Bodi ya Mikopo wakati walipo anza kufanya malipo kwa ajili ya wanafunzi .

IMETOLEWA NA 
UTAWALA 
CHUO KIKUU CHA TEOFILO KISANJI

No comments:

Post a Comment