contact

husen

Saturday, July 13, 2013

RAIS SHEIN AKUTANA NA WAZIRI WA UINGEREZA MARK SIMMOBDS ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA


IMG_8069Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Uingereza anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,leo asubuhi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}IMG_8078Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza  na Waziri wa Uingereza anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}IMG_8091Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana  na Waziri wa Uingereza
anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya mazungumzo yao leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}

No comments:

Post a Comment