contact

husen

Tuesday, June 12, 2012

DJ CHOKA AIBA TAULO HOTELINI

 Katika kipindi cha XXL kinachoruka kwa hewa week dayz toka 

7 kamili mchana hadi 10 za jioni katika gazeti la makorokocho

 the Gosip cop amenyaka tukio la uhalifu ambapo inasemekana 

ya kwamba Dj Choka aka Mr Hapetite kama anavyopenda kujiita

 ameiba taulo katika hoteli ya KUNDUCHI BEACH wakati msanii

 Linex alipokuwa

 akifanya video ya ngoma yake iitwayo AIFORA.


 Gosip Cop alimcheki Dj Choka kwenye simu yake ya mkononi 

 ndipo Linex alipotafutwa na kusema kwamba tukio hilo

 ni la kweli. .  lakini akamsihi Gosip Cop asitoe inshu hiyo

 hewani kwani dj Choka atamaindi.


 SOURCE XXL CLOUDS FM

No comments:

Post a Comment