contact

husen

Saturday, May 26, 2012

MADEMA WAVAMIA KITUO KIKUU CHA POLISI ZANZIBAR

Kundi la UAMSHO ambalo limekuwa
 likipinga muungano wa Tanganyika na 
Zanzibar limevamia kituo kikuu cha polisi
 MADEMA huko visiwani Zanzibar na 
kusababisha vurugu kubwa sababu ikiwa 
ni kushinikiza kuachiliwa kwa kiongozi
 wao ambaye  amekamatwa mara baada
 ya kuitisha mhadhara usio na 
Baraka za Serikali


No comments:

Post a Comment