contact

husen

Wednesday, May 30, 2012

STARZ YAKABIDHIWA BENDERA

NAibu waziri wa habari, vijana, Utamaduni na Michezo Amos makalla 

akimkabidhi bendera ya Taifa Nahodha wa Stars Juma Kaseja, wakati

wa hafka ya kuiaga timu hiyo leo kwenye hoteli ya Tansoma.Stars inaondoka

 alfajir ya kesho kwenda Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wao wa

 mchujo wa komve la Dunia utakaopigwa juni mbil.Wengine ni

 meneja wa bia ya Kilimanjaro inayoidhamini9 timu hiyo George Kavise, 

Mwenyekiti wa BMT Dioniz Malinzi na Kocha wa Stars, Kim Poulsen.


No comments:

Post a Comment