contact

husen

Tuesday, May 29, 2012

YOUNG JEEZY AM SIGN TONE TRUMP

·     
Rapa ambaye anafanya vizuri na album yake ya TM 103” husteling
 ambishion mtumzima Young Jeezy ameconfirme kumsign 
Rapa kutoka pande za Philladelphia mtumzima Tone Trump 
kupitia official twitter account yake, Jeez aliposti ujumbe mfupi
 uliosomeka “CTE WELCOMES TONE TRUMP TO THE FAMILY,”
Kwa upande wake Tone Trump amesema kuwa kwake ni kama
 ndoto aliyokuwa nayo muda mrefu na anamshukuru MUNGU
 kuwa Ndoto yake imekuwa ya Kweli,
Ton e amesema kuwa now jeez iz my brother and ma’ CEO na
 kuongezea kuwa kwa sasa wako kwenye mchakato wa kufanya
 ngima waliypipa jina la “Afghan” so get ya’
 self-rady 4 dis

No comments:

Post a Comment