contact

husen

Monday, August 20, 2012

SERGIO AGUERO AANZA VIBAYA MSIMU WA 2012/2013


Sergio Aguero
Klabu ya Manchester City imepata pigo mara baada ya
mshambuliaji wake raia wa Argentina Sergio Aguero 24
 kuumia goti katika mchezo wao wakwanza dhidi ya
Southampton katika mchezo ambao Man City waliibuka
kidedea kwa ushindi wa magoli 3 – 2. Aguero ametweet
na kusema  "it had been a tough hit" to his right knee but said
 there was no significant injury".
Under cover: Aguero was smuggled into hospital on Sunday night wearing a knee brace
City expect to find out the extent of the injury in the
next 48 hours once the results of a scan are known.

No comments:

Post a Comment