contact

husen

Monday, August 20, 2012

MANCHESTER UNITED YALALA 1 - 0 MBELE YA EVERTON






SERGIO AGUERO AANZA VIBAYA MSIMU WA 2012/2013


Sergio Aguero
Klabu ya Manchester City imepata pigo mara baada ya
mshambuliaji wake raia wa Argentina Sergio Aguero 24
 kuumia goti katika mchezo wao wakwanza dhidi ya
Southampton katika mchezo ambao Man City waliibuka
kidedea kwa ushindi wa magoli 3 – 2. Aguero ametweet
na kusema  "it had been a tough hit" to his right knee but said
 there was no significant injury".
Under cover: Aguero was smuggled into hospital on Sunday night wearing a knee brace
City expect to find out the extent of the injury in the
next 48 hours once the results of a scan are known.

TONNY SCOTT AFARIKI DUNIA

British blockbuster film director Tony Scott amefariki dunia
 mara baada ya kujirusha toka katika daraja moja lililopo
Los Angeles. Tony Scot mwenye umri wa miaka 68 ni
 mzaliwa wa North Shields. Umaarufu wake huko
 hollwood umetokana na kudirect movi kali kama
Gun, Days Of Thunder, and Beverley Hills Cop II.
Taarifa za awali ambazo zimetolewa zinaeleza ya
 kuwa gari la Tony aina ya Toyota Pirus lilikutwa likiwa
limepaki karibu na eneo hilo

CHEKI BEHIND THE SCENES KATIKA THE EXPENDABLES 2

JENNIFER LOPEZ APUNGUA UZITO ILI KUMANTAIN MUONEKANO WA KIDADA




Sunday, August 19, 2012

CHELSEA YAILAZA WIGAN 2 - 0

Chelsea


Klabu ya Chelsea imeanza vyema msimu wa ligi kuu England
kwa kuilaza Wigan katika ushindi wa mabao 2 – 0 magoli
ambayo yalitiwa nyavuni na Branislav Ivanovic mara baada
ya kupokea pasi murua toka kwa  Eden Hazard. Goli la pili
lilitiwa kimyani na Eden Hazard kwa changamoto ya mkwaju
wa penalty mara baada ya kufanyiwa madhambi na
Wigan's Ivan Ramis

WAZIRI WA DINI SUDAN AFARIKI DUNIA


Waziri wa dini wa Sudan Ghazi al-Sadiq Abdel Rahim ni
miongoni mwa watu 31 waliouwawa katika ajali ya ndege.
Shirika la habari la Sudan limesema kuwa mawaziri wengine
 wawili na pia viongozi wa chama kinachotawala cha

 Omar el-Bashir pia waliuwawa.
Ndege hiyo ya abiria ambayo pia ilikuwa imebeba wakuu
 kadhaa wa kijeshi ilianguka katika eneo la milima ya Nuba
Ndege hiyo ilikuwa ikielekea eneo la Kordofan ya Kusini
 kwa sherehe za Eid al-Fitr ili kuuaga mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Mbali na waziri huyo wa maswala ya kidini
 Ghazi al-Sadiq Abdel Rahim wengine waliofariki katika
 ajali hiyo ni mwenyekiti wa chama, Makki Ali Balayil,
waziri wa vijana na michezo, na Issa Daifallah, waziri
wa utalii na wanayma pori.
Ndege hiyo ilianguka katika eneo la Talodi huko Kordofan
ya Kusini, ikiwa imetoka mji mkuu Khartoum
Mji huo wa Talodi, uko kilomita 50 kutoka mpaka wa Sudan Kusini.
Taarifa za runinga ya taifa zinasema kuwa hali mbaya ya anga

 iliizuia ndege hiyo kutua na ilipojaribu mara ya pili iligonga mlima.
Afisa mmoja wa shughuli za ndege alisema kuwa ndege
 hiyo ilikuwa ya aina ya Antonov.
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ajali kadhaa mbaya za ndege.
Maafisa wa Sudan wamekuwa wakilalamika kuwa imekuwa
vigumu wao kupata vipuri kwa sababu ya vikwazo vya Marekani.

MLIPUKO WA BOMU WAUWA WATU WAWILI NA KADHAA KUJERUHIWA

Athari ya mlipuko wa bomu mjini Tripoli

Maafisa wa usalama wa Libya wamesema mabomu mawili
yaliyokuwa kwenye gari yamelipuka katikati ya mji mkuu wa Tripoli,
moja karibu na ofisi ya wizara ya mambo ya Ndani na jingine
karibu na chuo cha kijeshi.
Taarifa zinasema milipuko hiyo imeua watu wawili na kuacha
wengine wanne kujeruhiwa katika chuo cha zamani
 cha kijeshi cha wanawake.
Hili ni shambulio kubwa la kwanza kutokea tangu kuondolewa
 madarakani kwa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo
Muammar Gaddafi mwaka jana.
Mkuu wa Usalama wa mji Tripoli amelaani mashambulizi
 hayo yaliyolengwa kwa watu wanaomuunga mkono rais wa
 zamani wa nchi hiyo marehemu Mummar Gaddaf.
Katika hosptali ya Al Jalaa iliyopo Tripoli, Wesan Abu Alsoude
 ambaye binamu yake aliuawa amelaumu mamlaka kwa
 kushindwa kuchuchukua hatua kuzuia shambulio hilo.

RAISI WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA ATANGAZA SIKU ZA MAOMBOLEZO


Baadhi ya miili ya wachimba migodi waliouawa na polisi Afrika Kusini
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ametangaza kipindi cha maombolezo
nchini humo kufuatia mauaji ya wachimba madini thelathini na
 wanne yaliyofanywa na polisi,
wakati walipokuwa wakiandamana kudai malipo bora zaidi ya kazi.
Bwana Zuma pia ametaka tume ya uchunguzi ya kisheria ichunguze
mauaji hayo katika mgodi wa madini meupe yaani PLATINUM
 eneo la Marikana.
Wakati huohuo wachimba madini wameamriwa kurejea kazini
 siku ya Jumatatu la sivyo watafukuzwa kazi.
Lakini wengi wamesema kumaliza mgomo wao sasa ni sawa na
 kuwadhalilisha wenzao waliouawa.
Wanasema watarejea kugoma katika eneo la mgodi huo na wataendelea
 kushinikiza malipo bora zaidi ya kazi.
Hata hivyo chama cha wafanyakazi wa migodi cha NUM ambacho
kina uhusiano wa karibu na chama tawala cha ANC - kinasema
 wanachama wake wamekubali kurejea kazini.
Mmoja wa wachimba madini hao Vuyisile Mchiza, amesema
atarejea kazini iwapo idadi kubwa ya wenzake watakubaliana
 kusitisha mgomo.
''Iwapo idadi kubwa watarejea kazini kesho, basi na mimi
 nitakwenda''. Anasema. ''Iwapo wengi hawatakwenda kazini
nami pia sitakwenda, kwasababu sitaweza kufanya kazi wakati
 wengine wakiwa bado wanaomboleza''.

HII NDIO T SHIRT ALIOIONESHA SAMEER NASRI MARA BAADA YA KUFUNGA GOLI DHIDI YA SOUTHAMPTON

Man City 3 Southampton 2
Eid mubarak


JAMAA ALIKUWA ANAFUNGA KWELI!!!

EID EL FITR ni siku NZURI ya,,,
KUFURAHI PAMOJA
KUSAIDIANA
KUTOA SADAKA KWA WINGI
KUTEMBELEANA
KUOMBEANA DUA
KUSAMEHEANA, n.k n.k....

Hii ni ISRAFU,,na israfu ni karaha,, karaha inapelekea dhambi...tujiepushe na Israfu(ulafi)

Nawatakia EID EL FITR njema marafiki:))

think BIG!

PICHA MBILI ZA UTHIBITISHO WA KUWA DIDDY& CASSIE WAKO ENGADED




MGANGA WA KIENYEJIAKAMATWA NA MABOMU TABORA

.
Mtu mmoja aitwae Msindi Kasaki anaekadiriwa kuwa na umri
wa miaka 68 mkazi wa kata ya Ololangulu wilayani Uyui
mkoani Tabora, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo
kwa tuhuma za kukutwa na mabomu manne nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi mkoani Tabora Anthony Rutta amesema
kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo anaesadikiwa kuwa
ni mganga wa tiba za asili kumefanikiwa baada ya taarifa
kutoka kwa msamaria mwema.
Amesema baada ya hizo taarifa askari walikwenda kwenye
eneo hilo ambapo baada ya upekuzi na kumuhoji, Msindi
alikiri kuhifadhi mabomu hayo ambayo alikua ameyachimbia
chini ya ardhi nyuma ya nyumba yake yakiwa ni mabomu
manne ya kutupa kwa mkopo ndani ya mfuko.
Kamanda Rutta ameongeza kwamba utafiti uliofanywa na
polisi inasemekana hayo mabomu yaliagizwa nchi jirani na
lilikua limeandaliwa tukio kwenda kufanya uhalifu kwenye
mnada mmoja mkoani Tabora
picha na stori kwa hisani ya millardayo.com

ARSENAL WAANZA VIBAYA msimu wa 2012/2013

No Van Persie and no goals
HE CAN'T LOOK ... Arsene Wenger during Arsenal's 0-0 with Sunderland


Usiku wa tarehe 18/82012 ulikuwa ni usiku mbaya kwa
arsenal kwani walijikuta wakiambulia patupu mara baada
 ya kushindwa kufua dafu katika uwanja wao wa
 nyumbani dhidi ya sunderland mara baada ya
 kumuachilia RVP kwa kitita cha £22million.
Arsene Wenger amekiri yakwamba kwa sasa pengo
 la RVP limeonekana wazi. Mambo yatazidi kuwa mabaya
 sana kwa washika bunduki hao wa London kwani
kuna tetesi zinazomuhusisha Alex Song kutimkia huko
 nchini Hispania na kujiunga na Barcelona kwani
 ameonekana dhahiri kuonekana kuwa na nia ya
 kujiunga na klabu hiyo.
Katika mechi za Pre Season Arsenal walikuwa wakipata
ushindi wa ngamia kupita kwenye tundu la sindano
 licha ya kuwa na wakali waliosajiliwa katika msimu
 huu wa joto kama Podolski pamoja na  Olivier Giroud
ambao ndio walioshika roho ya timu hiyo


Saturday, August 18, 2012

UGONJWA WA EBOLA WAIBUKA HUKO DRC

Virusi cya Ebola
Ugonjwa wa Ebola umezuka kaskazini mashariki mwa
Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Wagonjwa wawili wamethibitishwa kuwa na virusi,
mmoja wao amefariki.
Shirika la matibabu la MSF, lenye watu wake Isiro,
 linasema hatua zinachukuliwa ili kumtafuta na kumtenga
 mtu yeyote ambaye aliwakaribia wale walioambukizwa.
MSF inasema aina ya virusi vya Ebola ya Congo ni tofauti
 na ile ya Uganda, ambayo iliuwa watu 16 mwezi uliopita.

EID MUBARAK



P SQUARE WASAMPLE NGOMA YA TIMAYA

Tarehe 16/08/2012 Peter na Paul Okoye waliachia ngoma yao

 mpya inayojulikan kwa jina la Alingo....Alingo imeachiwa

 muda ambao track ya Beautfully Onyinye ikiwa bado hot na

 inaendelea kutesa kwenye charts za radio na

tv stations mbali mbali dunian.
P square wameingia kwenye kashfa ya kuiba wimbo wa msanii

 Timaya unaoitwa shake your Bum.
Baadhi ya wanigeria waliotoa maoni yao wanasema ni

dhahiri mapacha hao wameiga wimbo huo....Sikiliza nyimbo

 zote halafu uotoe coment zako...

STOO YA BSS YATEKETEA KWA MOTO

.

Ijumaa ya August 17 2012 na ijumaa nyingine kabla ya hii ya
 August 17 zimekua siku mbaya kwa Madame Rita Paulsen
Big boss wa Benchmark Production ambayo ndio muandaji wa
 mashindano ya Bongo star search.
August 17 shoti ya umeme imemsababishia hasara sio chini
ya milioni hamsini za kitanzania baada ya nyumba iliyokua

 inatumika kama stoo ya vifaa vya production Benchmark
 kuteketea yote kwa moto pamoja na vitu vilivyokuwemo ndani.
Madame amesema shoti ya umeme ilitokana na transfoma
ambayo ipo karibu na ofisi yao Kawe Dar es salaam ambapo
ofisi yote ilikua iungue ila shoti ilipofika kwenye ofisi kubwa
 umeme ulijizima wenyewe kutokana na kifaa maalum
kinachoweza kuzuia shoti, hivyo nyumba ndogo ya stoo
 iliyokua na vifaa vya productions vilivyokua vinatumika kwa
 miaka kumi Benchmark production ndio ikateketea.
Tanesco wamethibitisha kweli kwamba ajali ya moto imetokana
 na shoti ya umeme ambapo zimamoto walichelewa kufika
 kwenye eneo la tukio kwa zaidi ya saa moja na nusu huku
 wakisema foleni barabarani ndio iliyosababisha, hakukua
 na njia ya kuuzima huo moto hivyo Madame Rita na timu
yake walibaki wakitazama tu nyumba ikiteketea.
Nilipomuuliza Madame kuhusu msg niliyotumiwa ya uwezekano
wa BSS kusimamishwa kutokana na hiyo ajali ya moto, namkariri akisema
“nahisi huyo jamaa labda alikua anataka hivyo lakini BSS haiwezi
 kusimama kuruka hata siku moja, hata nikifariki”


picha na stori kwa hisani ya millardayo.com

Friday, August 17, 2012

LAKHADR ATEULIWA KURITHI MIKOBA YA KOFFI ANANN


                          Mwanadiplomasia Lakhdar Brahimi kutokaAlgeria ameteuliwa kuwa

mrithi wa mikoba ya Koffi Annan katika mchakato wa kutatua

migogoro huko Syria ambaye alijiuzulu. Jina lake limetangazwa

na Eduardo Del Buey kwa niaba ya U.N. Secretary-General Ban Ki-moon,

mapema jana.Hapo awali Lakhadar alikuwa muwakilishi maalumu wa

U.N huko Iraq pamoja na Afganstan

 

“ wakati wa kupatikana kwa amani na ufumbuzi wa migogoro ya huko

Syria Umefika kwani lengo kubwa la U.N kwa sasa ni kutatua mgogoro

huo likisaidiwa na Mataifa yenye nguvu duniani kama Marekani na tayari

U.S. Secretary of State Hillary Clinton ameshamtumia ujumbe wa

kumkaribisha” amesema Erduado.

 

Licha ya Mr Brahimi kuwa katika jopo la wanadiplomasia wakongwe

duniani pamoja na kuwa Waziri wa mambo ya nje huko Algeria,

 

USINIULIZE INATOKA KATIKA KITABU GANI

TBC YAOMBA RADHI

Mkurugenzi wa TBS Bw Clement Mshana

Shirika la utangazaji Tanzania, TBC, leo limewaomba
radhi waislam nchini kwa kutoa takwimu zisizo sahihi
 za waislam na wakristu.
Mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Clement Mshana
 amefafanua kupitia kipindi cha Jambo Tanzania leo
 asubuhi kwa kukiri kuwa mmoja wa watangazaji wa
TBC1 alitaja takwimu za wakristu kuwa ni asilimia 52%
na waislam asilimia 32% zilizopatikana kutoka
 mtandao wa Wikipedia.
                          TBC imeomba radhi kwa kuwapotosha watanzania
kwakuwa takwimu hizo sio sahihi.
Mshana alikiri kuwa TBC ilifanya kosa kuunukuu mtandao
 wa Wikipedia na kudai kuwa chombo chenye
mamlaka na cha kuaminika ni Wakala wa Takwimu
nchini na sio wikipedia.
Mkurugenzi huyo amesema tarehe 15, May, 2012 shirika
hilo liliandika barua ya kuomba radhi kwa jumuiya ya
waislamu nchini na kumpa onyo mtangazaji aliyetaja
 takwimu hizo.
Ametaka waislam kusahau yaliyopita na kuutumia
mwezi huu wa Ramadhan kusamehe huku akiwataka
wananchi kujitokeza zaidi kwenye zoezi la sensa
litakalosaidia kupatikana kwa takwimu sahihi.

WANAUME TUMEUMBWA MATESO



ALICHOKI POST DK BATILDA BURIANI KATIKA PAGE YAKE YA FACEBOOK


ARSENE WENGER AJIPA MOYO

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema kitendo ambacho kimefanywa

 na Arsenal cha kumuuza Robin Van Persie kwa klabu ya Manchester United
ilikuwa ni zaidi ya mchezo wa kamari kwani alikuwa mhimili mzuri
 katika klab yake ya hapo awali.
kitendo hicho kimewasononesha sana mashabiki wa arsenal lakini
ukweli ni kwamba  mchezaji anapotaka kuhama klabu kuna mambo
mawili tu ya kufanya. Kumlazimisha kubaki au kumruhusu
 kuondoka na kwenda anapotaka.
Klabu ya Arsenal imepata pigo katika misimu kadhaa mfululizo kwa kuwapoteza
wachezaji kama Cesc Fabregas, Sameer Nasri pamoja na
 Alex Song ambaye yuko mguu nje mguu ndani kusalia kilabuni hapo



Wenger amesema yakwamba anafahamu anakabiliwa na changamoto

 kubwa lakini anaimani yakwamba watazitatua changamoto hizo kwani

Arsenal ni klabu kubwa yenye takribani miaka 125 na kuongeza

 ya kwamba walishapita wachezaji wengi wazuri kilabuni hapo hivyo

anaamini timu yake itakuwa fiti very soon

JAMAA WAKO FASTA KAMA SPIDI YA LIGHT

KOFII OLOMIDE MATATANI

Mwanamuzi mashuhuri nchini kongo(DRC) Anton Akgeba Makila Mabe
maarufu pia kama Koffi Olomide aka Mopao Mokonzi, Aswekwa
 lupango na pia kafikishwa kwa Pilato
Mwanamuziki huyo alikamatwa na kufungiwa katika kituo cha polisi na
 kufikishwa mahakamani jumatano.
Koffi alikamatwa kufuatia vurugu katika hoteli moja mjini Kinshasa.
Waandishi wa habari wanasema mahakama hiyo ya Kinishasa ilifurika
kutokana na watu wengi kuja kumuona kiongozi huyo wa
bendi ya Quartier Latin akiwa kizimbani.
Kesi hiyo iliharishwa hadi Alhamisi asubuhi wakati atakaposhitakiwa rasmi.
Wakati wa kesi hiyo hapo jana Koffi Olomide aliwakilishwa na mawakili 10.
Ugomvi kati ya mwanamuziki huyo na mtayarishi wake Bwana , Diego Lubaki,
ni kuhusu pesa dola $3,680.
Hakimu alimfahamisha mwanamuziki huyo ikiwa atapatikana na hatia
huenda akafungwa jela miezi sita.
Olomide ni gwiji wa muziki aina ya "soukous", mtindo ulitokana na jina la kifaransa
 "secouer", lenye maana ya kujitikisa au kujinengua ,
na wachezaji wake vile vile wanatambulika kwa kunengua maungo.

stori kwa na picha kwa hisani ya djchoka.blogspot.com

ALICIA KEYS NA FAMILIA YAKE WAKIWA WAMETOKA OUT


OMMY DIMPOZ - BAADAE TEASER

PICHA 4 ZA MAISHA MAPYA YA RVP 20 NDANI YA MANCHESTER UNITED

Thursday, August 16, 2012

ZEMBWELA NDANI YA MKASI

KICHUPA KIPYA CHA DULLY SYKES

MUONEKANO MPYA WA NYWELE ZA CRISS BROWN





NICKI MINAJ AFUNGUKA NA KUSEMA FOXY BROWN NI MMOJA KATI YA WATU WALIOMFANYA AINGIE KATIKA GAME


Nicki Minaj's love for Foxy Brown runs deep. After surprising a
New York City, New York crowd at Roseland Ballroom with
an appearance from Fox Boogs, the Harajuku Barbie sat
down with MTV News to discuss just how much the Ill
Na Na means to her, calling her the "most influential
 rapper to me" and emphasizing the importance of paying
 homage to rappers while you still can.
"I never really told Foxy how much she has influenced me
and how much she changed my life, and you've gotta tell people
that when they're alive to even be able to take the compliment,
 instead of paying tribute to them when they're no longer here,"
 she said. "I never really knew how she felt about me — in the industry,
 with women, you kinda just tread lightly — and I'm glad I was able to finally
 come out and say: 'You were the most influential female rapper to me.'"
The Young Money rapstress also called Foxy's appearance
 at her show "emotional,"
 stating that she wanted nothing but to give thanks to her for opening the
 door and allowing her to shine.
"For her to be on my stage, it was emotional, and she was emotional,"
she continued. "This is what this is really about. When you get where
you have arrived to, you give thanks to people who opened those
doors and triggered something in your mind. When I found
 out Foxy Brown was from Trinidad, that did something to me.
In my mind, I felt like I could be proud of where I'm from."

MR BEAN AKIPIGA PIANO KATIKA UFUNGUZI WA OLYMPIC HUKO LONDON

VIDEO YA ROBIN VAN PERSIE AKIWASILI MANCHESTER